|
|
||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||
|
|||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||
|
Wakati vita vikipamba moto Gaza, wasiwasi umeongezeka Mashariki ya Kati baada ya roketi kuvurumishwa kutokea Lebanon na kuangukia
Israel hali inayotishia kuenea kwa mzozo huo.
|
|
||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||
|
John Atta Milla ameapishwa kuwa Rais mpya wa Ghana kufuatia ushindi alioupata katika uchaguzi mkuu uliosababisha mshindi apatikane
kwa kufanyika duru ya pili ya uchaguzi.
|
Hii ni awamu ya kwanza ya mwongozo wa uandishi wa habari ulioandaliwa na Chuo cha uandishi habari cha BBC, maalum kwa waandishi
wote kujifunza kutokana na ujuzi na uzoefu wa BBC.
|
||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||
|
Vivutio
Picha zaidi kutoka Marekani wakati kumbu kumbu ya miaka 10 ya mashambulio ya mabomu.
Michezo
Idhaa ya Kiswahili ya BBC, Jumamosi 10 Januari itakutangazia mechi ya Arsenal na Bolton.
|
|
||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||
|
||||||||||||||||||||||