BBC News, Swahili - Habari
Habari kuu
Moja kwa moja, Nchi za magharibi zalaani uchaguzi wa Urusi, India na China zikiunga mkono ushindi wa Putin
Hakuna mgombea anayeaminika wa upinzani aliyeruhusiwa kushiriki katika uchaguzi huo utakaomwezesha Putin kuwa madarakani hadi 2030.
Tanzania: Saa 24 za mwisho za Magufuli, na aliyopitia Samia kabla ya kuapishwa
"...nikasema huyu ni Amiri Jeshi Mkuu anaapishwa asipoapishwa kwa taratibu hizo za kitaifa, jeshi halitamtambua," anaeleza.
Hitilafu ya mifumo yawawezesha wateja wa benki ya Ethiopia kutoa mamilioni
Ilichukua saa kadhaa kabla ya taasisi hiyo kusimamisha shughuli zake zote.
Msako baada ya mikutano ya rais wa Kenya kutatizwa
Rais Ruto aliyataja machafuko hayo kuwa ya kipumbavu
'Mtoto wangu mpendwa alifariki kwa njaa'
Jinsi njaa inavyonyemelea kaskazini mwa Gaza na onyo la Umoja wa Mataifa kuwa inakaribia "kukumbwa na baa la njaa" kutokana na ukosefu wa misaada.
Nzi Chuma: Mdudu anayebadilisha uchafu kuwa thamani
Je umewahi kusikia ufugaji wa mdudu nzi Chuma?
Uchaguzi Urusi: Kwa nini haikuwa vigumu kwa Putin kushinda urais?
Putin amekuwa rais tangu 2000, mbali na miaka minne kama waziri mkuu
Malawi: Kundi la WhatsApp lilivyowaokoa wanawake waliosafirishwa kwenda Oman
Anasimulia kwa tabu jinsi alivyolazimishwa kufanya ngono kinyume na maumbile.
Visiwa vinavyotoa mishahara mikubwa kuvutia wafanyakazi
Shirika la Rum's Community Trust linasema zawadi wanazotoa zitavutia baadhi ya vijana na familia zao kuishi visiwani humo.
Tetesi za soka Ulaya Jumatatu 18:03.2024
Liverpool wameungana na Arsenal na Manchester United kuonyesha nia ya kumnunua winga wa Borussia Dortmund na Uholanzi Donyell Malen, 25. (Bild - in German).
Bashe: “Waambieni Wamarekani mchele upo, Maharage yapo Tanzania, virutubisho viwekwe hapa”
Msaada huo unashirikisha mchele ulioongezwa virutubisho, maharage na mafuta ya alizeti kutoka kwa wakulima wa Marekani
Michezo
Dira ya Dunia TV
Kipindi cha habari motomoto, kinachowaweka watazamaji karibu zaidi na yanayojiri duniani
Sikiza / Tazama
Gumzo mitandaoni
Njia tano za kulinda figo zako
Wataalamu wa matibabu wanasema kiwango cha ugonjwa wa figo katika nchi za Afrika Kusini mwa Jangwa la Sahara kinatisha.
Jinsi droni za majini za Ukraine zinavyozifanya nyambizi za Urusi kujificha
Meli zisizo na nahodha za Ukraine zimeleta mapinduzi katika vita vya majini katika miaka michache iliyopita, zikiziwinda bila kuchoka meli za Urusi.
Wanasayansi wagundua kwa mara ya kwanza tembo wakiwazika na kuwafanyia tambiko watoto wao waliokufa
Ugunduzi huo pia unaonesha kuwa tembo hubeba maiti za watoto wao kwa siku kadhaa hadi wapate mahali pazuri pa kuzikia, huku wakitoa vilio kutoka kwenye mikonga yao.
Ramadhan: Ni chakula kipi unachofaa kula na kipi cha kuepuka mwezi wa mfungo?
Kipindi cha kufunga kinazingatiwa mwezi mzima.
Acha tabia hizi 11 zinazouharibu ubongo wako
Utafiti umebaini kuwa kwamba tabia yako ina athari mbaya kwenye ubongo.
Tende: Mashambulizi ya Houthi yanavyotatiza upatikanaji kabla ya Ramadhan 2024
Awadh Omar ni mfanyabiashara katika soko la Marikiti mjini Mombasa Pwani ya Kenya ambapo anauza tende ambazo ameagizia kutoka Saudi Arabia
Jimmy "Barbecue" Chérizier, kiongozi wa magenge ya uhalifu ya Haiti ni nani?
Chérizier alikuwa afisa wa polisi kabla ya kuwa mhalifu: Kwanini alijiunga na uhalifu?
Mabilionea wanavyotoa pesa zao kuboresha maisha ulimwenguni
Miaka sita iliyopita, Warren Buffett na Bill Gates walianzisha kampeni inayoitwa The Give Pledge ambapo mabilionea hujitolea kutoa angalau nusu ya utajiri wao kwa hisani.
Meya mpanda miti wa Siera Leone
Kiongozi huyo mwenye umri wa miaka 56 pia ni meya wa kwanza wa kuchaguliwa moja kwa moja katika mji wa Freetown - na mtu wa kwanza kushinda muhula wa pili tangu ilipochaguliwa na wakaazi wa mji mkuu wa Sierra Leone miongo miwili iliyopita.
Nyumba 8 zenye muundo wa ajabu zaidi duniani
Kutoka Jaipur hadi Whistler, nyumba nane za ajabu, zilizoshinda tuzo ambazo ni nzuri na zisizo na nishati.
Mzee Rukhsa: Kutoka kusaka ushekhe mpaka kupata urais
Hadithi ya maisha yake ilianza kuandikwa Mei 8 mwaka 1925, alipozaliwa katika kijiji cha Kivule katika eneo la kisiju Pwani, Wilaya ya Mkuranga katika Mkoa wa Pwani wa Tanzania.
Tuyajenge
Vipindi vya Redio
Listen Next, Amka Na BBC, 05:59, 19 Machi 2024, Muda 29,30
Kipindi cha habari, mahojiano na makala kila siku saa kumi na mbili na saa moja asubuhi Afrika Mashariki
Sikiliza, Dira Ya Dunia, 18:29, 18 Machi 2024, Muda 1,00,00
Kipindi cha habari, makala na mahojiano cha kila siku kuanzia saa kumi na mbili unusu jioni Afrika Mashariki
Sikiliza, Amka Na BBC, 06:59, 18 Machi 2024, Muda 29,30
Kipindi cha habari, mahojiano na makala kila siku saa kumi na mbili na saa moja asubuhi Afrika Mashariki
Sikiliza, Amka Na BBC, 05:59, 18 Machi 2024, Muda 29,30
Kipindi cha habari, mahojiano na makala kila siku saa kumi na mbili na saa moja asubuhi Afrika Mashariki