BBC News, Swahili - Habari
Habari kuu
Moja kwa moja, Mtandao wa Intaneti wakumbwa na hitilafu kote Afrika Mashariki
Kebo kuu inayounganisha eneo hilo na Afrika Kusini ilikatwa Jumapili asubuhi, mtaalam wa masuala ya mtandao anasema.
Madai ya mauaji kuhusu mahari yaliopelekea kulipa kisasi na kusababisha msiba mkubwa
Kutoa na kukubali mahari - ni kinyume na sheria nchini India tangu 1961, lakini 90% ya ndoa za Wahindi bado zinahusisha mpango huo, kulingana na utafiti wa hivi karibuni.
Putin amuondoa Sergei Shoigu kama waziri wa ulinzi wa Urusi
Rais wa Urusi Vladimir Putin amemuondoa mshirika wake wa muda mrefu Sergei Shoigu katika wizara ya ulizi katika mabadiliko aliyoyafanya ya Baraza la mawaziri wakati anapoanza awamu yake ya tano madarakani.
Arteta anasema ubingwa bado 'unawezekana' - lakini Arsenal ina nafasi gani?
Kwa vyovyote vile matokeo ya mchezo huo kwenye Uwanja wa Tottenham Hotspur, ushindi wa Arsenal katika uwanja wa Old Trafford unahakikisha vita vya kuwania taji hilo vitafikia hadi siku ya mwisho.
Mwanaume aliyepandikizwa figo ya kwanza ya nguruwe afariki dunia
Mwanamume wa kwanza kupandikizwa figo ya nguruwe iliyobadilishwa vinasaba amefariki miezi miwili baada ya upasuaji.
Tetesi za Soka Ulaya Jumatatu 13.05.2024
Liverpool wanavutiwa na winga wa Newcastle mwenye umri wa miaka 23 Anthony Gordon, ambaye alianza kucheza soka katika klabu ya Everton. (Star)
Afya: Je, vyakula vya kuongeza hamu ya tendo vinafanya kazi kweli?
Chokoleti, stroberi, chaza; huelezwa kwamba vinaweza kuongeza hamu ya kufanya mapenzi na kuboresha tendo lenyewe. Lakini kuna ukweli wowote kwenye madai hayo?
Kipi hutokea miilini mwetu tunapoumizwa na mapenzi?
Mwandishi Susan Sontag ameandika katika Reborn, "mapenzi yanaumiza."
Je, tunakula tu tunapohisi njaa?
Je, umewahi kujikuta ukkial vitafunio kwa ajili ya kujifurahisha tu, hata baada ya kula chakula chenye afya na cha kutosha? Huenda haya ni mazoea ya kula ambayo wataalamu huyaita “kula ili kujifurahisha.”
Siquijor: Kisiwa cha kuvutia kilicho na umaarufu wa uchawi.
Kisiwa cha mbali cha Siquijor ni cha kipekee – sio tu kwa taifa la Ufilipino , lakini kwa eneo zima la kusini mashariki kwa bara Asia. Kinafahamika na kutambulika tangu miaka ya zamani kama kitovu cha uchawi, mazingaombwe na ushirikina na vile vile tiba za asili.
Kwa nini visa vya saratani ya uume vinaongezeka ulimwenguni na nini kifanyike ili kuzuia?
Saratani ya uume si ya kawaida, hata hivyo inaonekana kuongezeka kwa kiwango cha kutisha katika miaka ya hivi karibuni.
Michezo
Dira ya Dunia TV
Kipindi cha habari motomoto, kinachowaweka watazamaji karibu zaidi na yanayojiri duniani
Sikiza / Tazama
Gumzo mitandaoni
Fahamu manufaa na madhara ya unywaji kahawa
Kahawa ni sehemu ya msingi ya maisha ya kila siku kwa mamilioni ya watu, lakini inatoka wapi na ina athari gani kwa miili yetu?
Vita vya Gaza: Ni mambo gani yanayokwamisha mapatano ya Israel na Hamas?
Baada ya miezi kadhaa ya mkwamo, utafutaji wa amani huko Gaza umefikia hatua muhimu. Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa António Guterres alisema kuwa huu ni "wakati wa maamuzi kwa watu wa Palestina na Israel na kwa hatima ya eneo zima."
"Nililazwa hospitalini kwa miaka 50 licha ya kutokuwa na ugonjwa wowote"- Charles Esler
Charles Esler aliishi zaidi ya miaka 50 ndani ya milango iliyofungwa ya hospitali licha ya kutokuwa na ugonjwa wowote mbaya.
BBC yafichua uharibifu wa vituo vya maji vya Gaza
Mamia ya vituo vya maji na mifereji ya maji taka vya Gaza vimeharibiwa au kuangamia tangu Israel ilipoanza kuchukua hatua za kijeshi dhidi ya Hamas, uchunguzi wa satelaiti na BBC Verify umegundua.
Uswidi: Je nchi ndogo ya Ulaya ilifanikiwa vipi kuwa 'paradiso kwa matajiri wa hali ya juu'?
Uswidi ni nchi ambayo sifa yake ya kimataifa inahusishwa na kodi kubwa na dhana ya usawa wa kijamii, lakini nchi hiyo sasa ni nyumbani kwa baadhi ya watu matajiri zaidi barani Ulaya.
Bowen: Netanyahu anajua kuwa kuponea kwa Hamas ni sawa na yeye kushindwa
Baada ya miezi kadhaa ya mazungumzo magumu kati ya wapiganaji na wapatanishi, wakati umefika wa kufanya maamuzi magumu.
Julius Malema: Mwanasiasa anayeiongoza EFF katika uchaguzi wa 2024 wa Afrika Kusini
Julius Malema ana sifa ya kukiuka mipaka.
Waridi wa BBC: 'Sikutaka kuolewa kuhofia kuwa mzigo kwa mume wangu'
Anajulikana zaidi kama ‘Neema Chai’ kutokana na aina ya majani ya chai anayotengeneza, ambayo yamepenya sokoni katika maeneo mbalimbali nchini Tanzania.
Ni upi umuhimu wa kimkakati wa Rafah na kwa nini kuna wasiwasi juu ya mashambulizi ya Israeli dhidi yake?
Mji wa Rafah wa Palestina umekuwa kimbilio kuu kwa raia na kituo cha kuingizia misaada ya kibinadamu kwa ajili ya Wapalestina, tangu mwanzo wa mgogoro kati ya Israel na Hamas.
'Walifanya upasuaji wa kujifungua wakitumia mwanga wa simu, mkwe na mjukuu wangu wakafa'
Katika hospitali ya manispaa huko Bhandup, East Upnar, Mumbai, mwanamke mjamzito alifanyiwa upasuaji wa kujifungua (CS) kwa kutumia mwanga wa tochi ya simu baada ya umeme kukatika.
Kwanini baadhi ya watu wana tabia ya kupenda kula kula?
Je, umewahi kula vitafunio, hata baada ya kushiba, kwa ajili tu ya kujifurahisha? Ikiwa ndivyo, unaweza kuwa mwathirika wa tabia ya kula kula.
Afya: Faida za muhogo kiafya
ules Kouassi, Daktari wa Afya ya Umma na mtaalamu wa lishe, kutoka Ivory Coast, anasema muhogo ni chakula muhimu, kwa sababu unaweza kuliwa na kila mtu na kuna njia tofauti za kutayarisha chakula hicho.
Tuyajenge
Vipindi vya Redio
Listen Next, Dira Ya Dunia, 18:29, 13 Mei 2024, Muda 1,00,00
Kipindi cha habari, makala na mahojiano cha kila siku kuanzia saa kumi na mbili unusu jioni Afrika Mashariki
Sikiliza, Amka Na BBC, 06:59, 13 Mei 2024, Muda 29,30
Kipindi cha habari, mahojiano na makala kila siku saa kumi na mbili na saa moja asubuhi Afrika Mashariki
Sikiliza, Amka Na BBC, 05:59, 13 Mei 2024, Muda 29,30
Kipindi cha habari, mahojiano na makala kila siku saa kumi na mbili na saa moja asubuhi Afrika Mashariki
Sikiliza, Dira Ya Dunia, 18:29, 10 Mei 2024, Muda 1,00,00
Kipindi cha habari, makala na mahojiano cha kila siku kuanzia saa kumi na mbili unusu jioni Afrika Mashariki