BBC News, Swahili - Habari
Habari kuu
Moja kwa moja, Urusi haitaki kuiteka Kharkiv, adai Putin
Urusi kwa sasa haitaki kuuteka mji wa pili kwa ukubwa nchini Ukraine wa Kharkiv, Rais Vladimir Putin amedai.
Uamuzi wa ICJ ulimaanisha nini katika kesi ya mauaji ya halaiki ya Afrika Kusini dhidi ya Israel?
Mahakama iliombwa kuiamuru Israel kuchukua hatua za "kulinda dhidi ya madhara zaidi, makali na yasiyoweza kurekebishwa kwa haki za watu wa Palestina"
Je, ni vyakula gani husababisha na kupunguza kiungulia?
Kiungulia, ambacho kwa kawaida hujidhihirisha kama asidi inayounguza kwenye kifua, ni mojawapo ya dalili kuu za chakula kutosagwa vizuri.
Wanajeshi wa Israel wanaendelea kutuma picha za unyanyasaji licha ya kuahidi kuchukua hatua
Wanajeshi wa Israel wanasambaza picha za kukamatwa kwa Wapalestina katika Ukingo wa Magharibi.
Wachezaji wanaolipwa fedha nyingi zaidi duniani 2024
Cristiano Ronaldo ameongoza orodha ya Forbes ya wanariadha wanaolipwa fedha nyingi zaidi duniani kwa mara ya nne katika maisha yake ya soka
Jinsi nchi za Magharibi zinavyokabiliana na tisho la ujasusi la China linaloongezeka
Kinachowatia wasiwasi maafisa wa nchi za Magharibi ni azma ya Rais wa China Xi Jinping kwamba Beijing itaunda utaratibu mpya wa kimataifa.
Tetesi za Soka Ulaya Ijumaa 17.05.2024
Napoli wanavutiwa na mshambuliaji wa England Mason Greenwood, ambaye yuko Getafe kwa mkopo kutoka Manchester United. (Corriere dello Sport - kwa Kiitaliano)
Mwanaume mmoja aambiwa yeye si Muingereza baada ya miaka 42 kuishi Uingereza
“Hakuna aliyehoji, nilinunua vitu vyangu vyote hata nyumba. Na hakuna mtu aliyenihoji kuhusu chochote," anasema.
Daktari alidhani sifanyi mapenzi kwa sababu mimi ni mlemavu
"Nimekuwa nikipigana kwa miaka 37 ili kuvishinda vikwazo na bado vipo. Kwangu mimi ni zaidi ya vikwazo, ni vita vya mara kwa mara."
Mama anayefanya kampeni ya kukusanya faini kumuokoa mwanae dhidi ya hukumu ya kunyongwa Saudia
Stephen Munyakho, mwenye umri wa miaka 50, alipaswa kunyongwa siku ya Jumatano kwa mauaji ya raia wa Yemen mwaka 2011.
Michezo
Dira ya Dunia TV
Kipindi cha habari motomoto, kinachowaweka watazamaji karibu zaidi na yanayojiri duniani
Sikiza / Tazama
Gumzo mitandaoni
Biashara haramu ya mbao kwenda China inavyofadhili uasi Msumbiji
Usafirishaji wa mbao, unaokadiriwa kuwa na thamani ya dola za kimarekani milioni 23 kwa mwaka, kutoka misitu ya kale ya Msumbiji hadi China unasaidia kufadhili waasi wa itikadi kali za Kiislamu
Kwa nini ushirikiano wa Marekani na Israel unakumbwa na mzozo mbaya zaidi katika miongo kadhaa
Waziri mkuu ameelewa kwa muda mrefu kwamba anaweza kutumia raslimali zake kupinga shinikizo la Marekani.
Sindano ya kupunguza uzito 'inaweza kupunguza mshtuko wa moyo'
Walisema sindano ya kupambana na unene kupindukia inaweza pia kusaidia afya ya moyo na mishipa ya mamilioni ya watu wazima.
Sungusungu wanaopambana na uhalifu kwa kutumia filimbi na mijeledi
Wasiwasi kuhusu uhalifu wa kutumia nguvu utakuwepo katika vichwa vya Waafrika Kusini wanapopiga kura baadaye mwezi huu, licha ya wanasiasa kutoa ahadi za kila aina kuhusu kuukabili.
'Niliulizwa kutuma picha za utupu baada ya kuunda 'urafiki' kwenye Roblox'
"Ulikuwa ni mchezo wa watoto, sikufikiri mtu mzima angeucheza."
Afya: Je, vyakula vya kuongeza hamu ya tendo vinafanya kazi kweli?
Chokoleti, stroberi, chaza; huelezwa kwamba vinaweza kuongeza hamu ya kufanya mapenzi na kuboresha tendo lenyewe. Lakini kuna ukweli wowote kwenye madai hayo?
Kipi hutokea miilini mwetu tunapoumizwa na mapenzi?
Mwandishi Susan Sontag ameandika katika Reborn, "mapenzi yanaumiza."
Fahamu manufaa na madhara ya unywaji kahawa
Kahawa ni sehemu ya msingi ya maisha ya kila siku kwa mamilioni ya watu, lakini inatoka wapi na ina athari gani kwa miili yetu?
Stevie Wonder azungumza kuhusu kuwa raia wa Ghana
Mwimbaji-mtunzi mashuhuri wa nyimbo Stevie Wonder ni raia wa Ghana.
Afya: Faida za muhogo kiafya
ules Kouassi, Daktari wa Afya ya Umma na mtaalamu wa lishe, kutoka Ivory Coast, anasema muhogo ni chakula muhimu, kwa sababu unaweza kuliwa na kila mtu na kuna njia tofauti za kutayarisha chakula hicho.