BBC News, Swahili - Habari
Habari kuu
Nini maana ya hati ya kukamatwa ya ICC kwa Hamas na Israel?
Katika shambulio kali la kibinafsi, Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu alisema mwendesha mashtaka mkuu wa Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu (ICC) Karim Khan, ni mmoja wa "watu wanaopinga sheria za kisasa."
'Alikuwa mvulana asiyejua alichokuwa akifanya na kumfuata tu babake' - Mama wa mtoto wa Christian Malanga
Brittney Sawyer, mamake Marcel Malanga, alitangaza kwenye Facebook kwamba anasikitika kwa wale wanaomtumia picha za mwanawe.
Mahangaiko ya Wagaza 'wanaofungwa minyororo na kufunikwa macho' katika hospitali ya Israel
Wahudumu wa afya nchini Israel wameiambia BBC kwamba wafungwa wa Kipalestina kutoka Gaza mara kwa mara hufungwa minyororo kwenye vitanda vya hospitali, hufunikwa macho, wakati mwingine wakiwa uchi na kulazimishwa kuvaa nepi - hali ambayo daktari mmoja alisema ilifikia "mateso".
Mtu mmoja afariki baada ya ndege ya Singapore kukumbwa na msukosuko
Ndege hiyo ilikuwa na jumla ya abiria 211 na wafanyakazi 18, shirika hilo la ndege lilisema katika taarifa yake.
Waziri Mkuu Uingereza aahidi kulipa fidia waathiriwa wa sakata ya damu yenye maambukizi
Waziri mkuu alisema serikali italipa "chochote itakachogharimu" kufuatia ripoti juu ya kashfa hiyo, ambayo watu 30,000 wameambukizwa.
Nini kinachofuata nchini Iran baada ya kifo cha Rais Ebrahim Raisi?
Ebrahim Raisi alifikia karibu na kilele cha madaraka katika Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na alipigiwa upatu sana kupanda juu kabisa.
Je, Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu,ICC hufanya nini?
ICC ni nini na hufanya nini?
Tetesi za soka Ulaya Jumanne 21.05.2024
Meneja wa Burnley Vincent Kompany, 38, ni miongoni mwa watu wanaopigiwa upatu kuchukua nafasi ya Thomas Tuchel huko Bayern Munich
Mwanamume aliyehusika na jaribio la mapinduzi DRC ni nani?
Wengi hapo awali waliamini kuwa jaribio hilo la mapinduzi lilitoka kwa kundi la wanajeshi wa Kongo wanaohusishwa na walinzi wa rais.
'Mungu ndiye aliyetuma majeshi yake ya mbinguni ili kutuokoa na kifo' - Mke wa Vital Kamerhe
Msemaji wa jeshi la Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo alisema kuwa shambulio hilo lilifanywa na Christian Malanga, ambaye alikuwa katika jeshi la Kongo kabla ya kwenda nje ya nchi
Ebrahim Raisi: Kiongozi wa kidini mwenye msimamo mkali aliyekuwa rais wa Iran
Ebrahim Raisi ni kiongozi wa kidini mwenye msimamo mkali aliye karibu na Kiongozi Mkuu wa Iran Ayatollah Ali Khamenei, ambaye kuchaguliwa kwake kama rais mwaka 2021 kuliimarisha udhibiti wa wahafidhina katika kila sehemu ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
Fahamu kuhusu Jiji la Fatima linalotembelewa sana na Wakristo kutoka kote duniani
Kila mwezi, watoto walikuwa wakirudi kwenye eneo hilo na kumwona msichana, ingawa hakuna mtu mwingine angeweza kumuona
Michezo
Dira ya Dunia TV
Kipindi cha habari motomoto, kinachowaweka watazamaji karibu zaidi na yanayojiri duniani
Sikiza / Tazama
Gumzo mitandaoni
Ni nani anaongoza Iran?
Je, kifo cha ghafla cha Rais Ebrahim Raisi kinaathiri vipi jinsi nchi inavyoendeshwa?
Rais wa Iran Ebrahim Raisi afariki dunia katika ajali ya helikopta - TV ya serikali
Majina ya baadhi ya waliofariki katika ajali hiyo ya helikopta kando na Rais wa Iran Ebrahim Raisi na Waziri wa Mambo ya Nje Hossein Amir-Abdollahian sasa yametolewa.
Jeshi la DRC latangaza kuzuia jaribio la mapinduzi dhidi ya Rais Felix Tshisekedi
Jeshi la Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo limetangaza kuwa limezuia jaribio la mapinduzi dhidi ya Rais Felix Tshikedi huko Kinshasa.
Uamuzi wa ICJ ulimaanisha nini katika kesi ya mauaji ya halaiki ya Afrika Kusini dhidi ya Israel?
Mahakama iliombwa kuiamuru Israel kuchukua hatua za "kulinda dhidi ya madhara zaidi, makali na yasiyoweza kurekebishwa kwa haki za watu wa Palestina"
Mapungufu ya mifumo ya intaneti barani Afrika na jinsi ya kuyarekebisha
Kukatwa kwa nyaya mbili za chini ya bahari, ambazo hubeba data kote barani, mapema Jumapili asubuhi, kumesababisha usumbufu wa hivi karibuni.
Biashara haramu ya mbao kwenda China inavyofadhili uasi Msumbiji
Usafirishaji wa mbao, unaokadiriwa kuwa na thamani ya dola za kimarekani milioni 23 kwa mwaka, kutoka misitu ya kale ya Msumbiji hadi China unasaidia kufadhili waasi wa itikadi kali za Kiislamu
Kwa nini ushirikiano wa Marekani na Israel unakumbwa na mzozo mbaya zaidi katika miongo kadhaa
Waziri mkuu ameelewa kwa muda mrefu kwamba anaweza kutumia raslimali zake kupinga shinikizo la Marekani.
Sindano ya kupunguza uzito 'inaweza kupunguza mshtuko wa moyo'
Walisema sindano ya kupambana na unene kupindukia inaweza pia kusaidia afya ya moyo na mishipa ya mamilioni ya watu wazima.
'Niliulizwa kutuma picha za utupu baada ya kuunda 'urafiki' kwenye Roblox'
"Ulikuwa ni mchezo wa watoto, sikufikiri mtu mzima angeucheza."
Afya: Je, vyakula vya kuongeza hamu ya tendo vinafanya kazi kweli?
Chokoleti, stroberi, chaza; huelezwa kwamba vinaweza kuongeza hamu ya kufanya mapenzi na kuboresha tendo lenyewe. Lakini kuna ukweli wowote kwenye madai hayo?
Tuyajenge
Vipindi vya Redio
Listen Next, Amka Na BBC, 05:59, 22 Mei 2024, Muda 29,30
Kipindi cha habari, mahojiano na makala kila siku saa kumi na mbili na saa moja asubuhi Afrika Mashariki
Sikiliza, Dira Ya Dunia, 18:29, 21 Mei 2024, Muda 1,00,00
Kipindi cha habari, makala na mahojiano cha kila siku kuanzia saa kumi na mbili unusu jioni Afrika Mashariki
Sikiliza, Amka Na BBC, 06:59, 21 Mei 2024, Muda 29,30
Kipindi cha habari, mahojiano na makala kila siku saa kumi na mbili na saa moja asubuhi Afrika Mashariki
Sikiliza, Amka Na BBC, 05:59, 21 Mei 2024, Muda 29,30
Kipindi cha habari, mahojiano na makala kila siku saa kumi na mbili na saa moja asubuhi Afrika Mashariki